Monday 28 July 2014

YANGA: KAMATI KUU YAVUNJWA NA KUUNDWA UPYA

Manji na Sanga (picha: michuzi blog)
Taarifa zilizotoka Jangwani kupitia Secretary General wa club ya bwana Beno Njovu kwa waandishi wa habari zimesema kwamba kwa mujibu wa katiba ya club mwekiti Yusuf Manji na makamu mwenyekiti Clement Sanga wana wajibu wa kubadilisha kamati ilikukabiliana na mabadiliko katika club hiyo kongwe...Clement Sanga amewataja wanakamati wapya ambao ni Abbas Tarimba, George Fumbuka, Waziri Barnabas, Sam Mapande na Abubakar Rajab...Wengine ni Mohamed Nyange, Musa Katabalo, Seif Ahmed, David Sokoine, Isaac Chanji na Mohamed Bhinda...Sanga amesema hawa wote watasimamia kamati za nidhamu, uchaguzi, technical, uchumi na ushindani....Pia amesema watingia kombe la Kagame....Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment