Saturday 19 July 2014

EPL: ROBBIE FOWLER ATEULIWA BALOZI WA LIVERPOOL


Robbie Fowler amerudi tena Liverpool kama Balozi...Striker hatari sana ambae alianzia maisha yake ya soka hapo Liverpool academy na kungia timu ya wakubwa 1993...Amecheza mechi 369 na kati ya hizo alipata mabao 183...Robbie amesema ilikuwa heshima kuichezea Liverpool na miaka 30 hapo Liverpoool imekuwa ni kipande cha maisha yake...Kwa wale wadau wa Merseyside anamuita Fowler "Legend" kwani huyu striker alikuwa mkali sana na anakasi kubwa sana...Hapo chini angalia jinsi alivyokuwa anacheza enzi zake...Hongera sana Balozi Robbie Fowler...


No comments:

Post a Comment