Saturday 26 July 2014

EPL: ARSENAL KUMYAKUA BEKI CALUM CHAMBERS


Arsenal FC karibu inamchukua beki makini kutoka Southampton Calum Chambers...Chambers ambae anaichezea Uingereza kwenye timu ya vijana chini ya miaka 19 alichekiwa na madaktari Ijumaa tayari kuingia Emirates...Arsenal wametoa milioni 16 pounds kumyakua beki huyu mkali...Chambers sasa ni mchezaji wa 3 kuingia Arsenal kabla msimu haujaanza wengine ni Alexis Sanches na Mathieu Debuchy...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment