Wednesday 16 July 2014

GLASGOW COMMONWEALTH GAMES: DR. KIKWETE AWATAKIA HERI WANARIADHA

Rais Dr. Kikwete akimkabidhi nahodha wa timu ya riadha (picha: www.ikulu,go.tz)

Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete amewatakia heri timu ambayo itatuwakilisha kwenye michezo Commonwealth huko Glasgow...Rais Kikwete amewaambia wanariadha 39 amabo watatuwakilisha kwamba wanadeni na kulilipa hilo deni ni kurudi na ushindi...Amesema pia Tanzania kuna ukame wa medals na sasa ni wakati wa kubadilisha mambo...Rais amewashukuru Tanzania Olympic Committee pamoja Wizara ya Vijana na Wizara ya Mambo ya Nje kwa kuhakikisha timu iko katika hali ya kimataifa na iko tayari kupambana katika hiyo michezo ya Commonwealth...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment