Tuesday 22 July 2014

EPL: PATRICE EVRA AHAMIA JUVENTUS


Partice Evra amekamilish uhamisho wake kutoka Man U kwenda Juventus...Evra amechukuliwa wa pound milioni 1.2...Evra aliingia Man u kutokea Monako kwa pound milioni 5.5 miaka 8 iliyopita na ameshinda Premiership mara 5 akiwa na Man U...


Evra aondoka Man U akimshukuru sana Sir. Alex Ferguson kwa kumwezesha awe captain na kumkumbusha hakuna aliye juu ya club...Bofya hapa upate habari zaidi....

No comments:

Post a Comment