Thursday 24 July 2014

ELP: MANCHESTER UNITED YAANZA VIZURI CHINI YA KOCHA MPYA

Ander Herrera 
Manchester United imeanza vizuri chini ya kocha wao mpya Van Gaal baada ya kuigaragaza LA Galaxy 7-0...LA Galaxy walikula kichapo mbele ya watu 86,432 Rose Bowl California...Dakika ya 13 tu Danny Welbeck alifungulia magoli...Hii ni mchi ya kwanza kati ya mechi 4 za ziara ya Man U nchini Marekani...Timu ilikuwa chini ya captain Darren Fletcher...Wengine waliofunga ni Ashley Young mabao 2 na beki Reece James mabao 2...Dogo Ander Herrera alioingia Man U juzi tu alikuwa kwenye 1st 11...Bofya hapa usome zaidi...

No comments:

Post a Comment