Monday 14 July 2014

WORLD CUP 2014: LUIZ FILIPE SCOLARI ABWAGA MANYANGA


Kocha maarufu sana wa Brazil Luiz Filipe Scolari ameamua kuachi ngazi baada ya kushindwa kunyakua kombe la dunia mwaka huu...Scolari ndio aliowezesha timu ya 2002 kunyakua ubingwa wa dunia lakini kipindi hiki alichemsha...Wengi walimlaumu kocha huyo kwa kutofanya vizuri na kutokuwa na kikosi imara...Brazil walitandikwa 7-1 na Ujerumani na wakachapwa 3-0 na Netherlands...Siku hiyo walipochapwa na Netherlands kila picha ya Scolari ikitokea kwenye tv alizomewa...Lakini pamoja na kutofanya vizuri kipindi hiki Scolari ni kocha mzuri na anaheshimika duniani...Bofya hapa usome zaidi...

No comments:

Post a Comment