Tuesday 22 July 2014

BRAZIL: DUNGA KOCHA TENA


Carlos Dunga amechaguliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil...Hii ni mara ya 2 Dunga anaifundisha timu ya Brazil mara ya kwanza ilikuwa 2006 mpaka 2011...Dunga pia aliwahi kuichezea timu ya ushindi ya Brazil mwaka 1994 wakati akiwa captain...Dunga anachukua nafasi ya Luiz Filipe Scolari ambae aliamua kustaafu baada ya kukosa kombe la dunia...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment