Tuesday 8 July 2014

F1: HALI ILIVYOKUWA KATIKA AJALI YA KIMI RAIKKONEN HUKO SILVERSTNE

Ferrri ya Kimi ikipat ajali

Kimi Raikkonen alipata ajali mbaya sana katika mashindano ya F1 katika uwanja wa Silverstone huko Uingereza...Aligonga kingo akiwa na spidi kali sana ya 150 miles kwa saa...
 
Massa nae aligongwa vibaya

Hiyo ajali pia ilimkuta Fillipe Massa kwa kuwa hakuona ajali ikitokea na akajikut anagongwa na gari kuzungushwa...Hali ya madereva wote inaendelea vizuri...Lewis Hamilton alishinda hayo mashindano ya Silverstone.

 

No comments:

Post a Comment