Monday 28 July 2014

TANZANIA U-17: RC AFUNGUA MASHINDANO YA VIJANA


Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Saidi Meck Sadiq amefungua mashindano ya vijana ya kikanda yanayoitwa 'Airtel Rising Stars'...Sadiki amewaasa TFF na wadau wa mpira kuchukulia kwa uzito umuhimu wa kuwafundisha vijana michezo toka wadogo...Aliwakumbusha wadau kwamba michezo ni muhimu sana katika maendeleo yao ya elimu na pia katika kutafuta ajira au kujiajiri...Bofya hapa usome zaidi...

No comments:

Post a Comment