Tuesday 15 July 2014

EPL: LIVERPOOL SANA YAMTAKA MARCO REUS


Liverpool FC au wazee wa Anfield wanamtaka sana dogo kutoka Borussia Dortmund Marco Reus....Reus alitoswa na Barca wakati Suarez alipochaguliwa na Barc...Liverpool wanahitaji sana striker mkali baada ya kumpoteza Suarez...Rogers yuko tayari kutoa milioni 44 pound za Uingereza amchukue Reus...Pata habari zaidi hapa....

No comments:

Post a Comment