Friday 18 July 2014

BOXING: PAC-MAN KUZICHAPA NA CHRIS ALGIERI


Pac-Man

Manny 'Pac-Man' Pacquiao atarudi tena ulingoni kuzichapa na Chris Algieri (20-0, 8 KO's)November 22 huko Macao China...Chris Algieri hafahamiki sana lakini ni boxer mzuri sana na pia ni bingwa WBO junior welterweight kwahiyo Pac-Man atakuwa na mtihani mkubwa... 

Chris Algieri

Mkanda utaokuwa unatafutwa na Chris Algieri ni wa WBO welterweight ambao umeshikiliwa na Pac-Man...Algieri alipanda ngazi baada ya kuntwanga Provodnikov hivi karibuni...Hii ni mara ya 2 Pac-Man anazichapa huko Macau...Mwaka jana alizichapa na Brandon Rios hatika huo mji unaojulikana sana duniani kwa kamali...Usikose kuangalia...

No comments:

Post a Comment