Friday 18 July 2014

LA LIGA: TONI KROSS SASA NI MCHEZAJI RASMI WA REAL MADRID

Toni akiwafurahisha mashabiki wa Madrid

Toni Kross amekamilisha usajili wake Real Madrid kutoka Bayern Munich...Kross amechukuliwa na Real Madrid kwa milioni 24 pound za Uingereza...


Toni na Ancelotti

Mwenyekiti wa Bayern Munich Karl-Heinz Rummenigge amemshukuru Kross kwa muda wake Bayern na anamtakia heri yeye na familia yake huko Madrid...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment