Thursday 24 July 2014

GLASGOW 2014: MICHEZO YA COMMONWEALTH YAANZA RASMI


Michezo ya Commonwealth imeanza rasmi huko Glasgow Scotland...Michezo hii inahusisha nchi 71 ambazo zilitawaliwa na Uingereza miaka ya nyuma...Tanzania tulijiunga na Commonwealth mwaka 1961 na mwaka 1962 tulianza kushiriki michezo ya Commonwealth..1974 ndio mara ya kwanza Tanzania inapata medani ya dhahabu ambayo Filbert Bayi ndio alioipata huko Christchurch New Zealand...


Malkia wa Uingereza alifungua michezo hii rasmi mbela ya watu 40,000 waliokuwa uwanja wa Celtic Park na mamilioni waliangalia ufunguzi huo kwenye tv..Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment