Tuesday 30 September 2014

CRICKET: REKODI YAVYNJWA JUU YA MLIMA KILIMANJARO


Rekodi mpya ya dunia imewekwa baada ya timu ya Cricket yenye international stars wa zamani kucheza mchezo huo juu ya mlima Kilimanjaro na kuwa mechi ya kwanza kuchezewa katika altitude ya juu sana...


Mechi hiyo ilichezewa eneo ambali liko chini kidogo ya summit kwenye eneo la crater ambalo liko flat na ni urefu wa mita 5,730 (18,799ft) kutoka uwasa wa bahari...


Walicheza 10 overs kila moja Twenty20 mpaka mawingu yalipowafunika...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment