Monday 8 September 2014

CRICKET: HAMIS ABDALA KUONGOZA TIMU YA TAIFA YA CRICKET AFRICA CUP 2014 JOZI


Timu ya taifa ya Cricket iko tayari kwa mashindano makubwa ambayo yatafanyika Sahara Park Willowmoore Johannesburg Afrika ya Kusini...Captain Hamis Abdala atawaongoza wenzake katika michuano ya Africa Cricket Association (ACA) Africa Cup 2014...Nchi nyingine ambazo zitacheza na timu ambazo ziko International Cricket Council (ICC) ni Kenya, Uganda na Namibia...Max Sports na wadau wa Cricket tunawatakia heri katika mashindano hayo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment