Fifa imesema haitoifungia Nigeria kutokana na Aminu Maigari kuruhusiwa kuendelea kuendesha shirikisho la soka l Nigeria (NFF)...Chris Giwa alimpinga Maigari na uchaguzi uliofanyika mwezi wa 8 ambao Chris alisema kashinda haukutambuliwa na Fifa...
![]() |
| Aminu Maigari....boss wa NFF |


No comments:
Post a Comment