Tuesday 2 September 2014

EPL: DANNY WELBECK NDANI YA EMIRATES


Arsenal wamemchukua Danny Welbeck al-maarufu bongo kwa jina la Shabba Ranks katika mbio za kuwahi dirisha kubwa la usajili lililofungwa jana usiku...Welbeck kutoka Manchester United amtia saini dili la muda mrefu ambalo limegharimu pound milioni 16...Kutokana na Olivier Giroud kuvunjika mguu na atakuwa nje mpaka mwakani Welbeck atafidia nafasi yake vizuri...Bofya hapa upate hbari zaidi

No comments:

Post a Comment