Diego Costa wa Chelsea atakosa mechi ya kwanza ya Spain ya kujiandaa na Euro 2016 baada ya kuumia misuli ya paja...Aliumia katika mechi ya kirafiki na Ufaransa na ilibidi atolewe dakika ya 67...Costa amesha funga magoli 4 na Chelsea na sasa itabidi apate matibabu na ajiweke fit...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 6 September 2014
SPAIN: DIEGO COSTA KUKOSA EURO 2016 QUALIFIER
Diego Costa wa Chelsea atakosa mechi ya kwanza ya Spain ya kujiandaa na Euro 2016 baada ya kuumia misuli ya paja...Aliumia katika mechi ya kirafiki na Ufaransa na ilibidi atolewe dakika ya 67...Costa amesha funga magoli 4 na Chelsea na sasa itabidi apate matibabu na ajiweke fit...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment