Monday 29 September 2014

LA LIGA: MESSI HAKUAMINI KAMA ANGEFIKISHA MAGOLI 400


Mabao 400 si mchezo lakini Lionel Messi mwenye umri w miaka 27 sasa amefikisha mabao 401 kwa kuchezea Barcelona na nchi yake ya Argentina...Messi hakuamini kama angefikia mabao 400 alifikia magoli 400 kwenye mechi ya Barca dhidi ya Granada FC ambapo walishinda 6-0 na yeye alikuwa na mabao 2 katika hiyo mechi...Mabao 359 kaifungia Barcelona na 42 Argentina...Messi ni kati ya wachezaji bora wa soka duniani...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment