Sunday 14 September 2014

DAVID CUP: FEDERER AISAIDIA TIMU SWISS KUINGIA FAINALI


Switzerland wameingia fainali ya Davis Cup baada ya kuwatoa Italy 3-1...Roger Federer ameisaidia timu yake ua uswiss baada ya kumchapa namba 1 wa Italy Fabio Fognini 6-2 6-3 7-6 (7-4)...Watakutana na France kwenye fainali baada ya kuwatoa Czech Republic 4-1...Switzerland haijawahi kushinda Davis Cup lakini na France wamewahi kushinda mara9...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment