Thursday 14 August 2014

VPL: SIMBA YAMRUDISHA PHIRI MSIMBAZI


Kocha wa zamani wa Simba Patrick Phiri arejea tena Msimbazi...Mzambia ametia timu bongo akipokelewa na umati mkubwa wa mashabiki wa Simba SC...Phiri sasa anaifundisha Simba mara ya 3 na amesema ataweka mambo sawa na yuko tayari...Amemshukuru boss wa Simba Aveva kumpa nafasi tena ya kuisaidia Simba...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment