Venua Williams amenchapa dada yake ambae ni bingwa wa dunia Serena Williams 6-7 (2-7) 6-2 6-3...Kilichommaliza Serena ni kukosea sana bila kukoseshwa 'unforced errors' nyingi na 'double faults'...Serena alikuwa na 'aces' 19 lakini hazikumsaidia...Venus alipunguza kasi ya ukali katika miaka ya hivi karibuni lakini alijitutumua na kushinda kombe moja la WTA mwaka huu...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 10 August 2014
ROGERS CUP: VENUS AINGIA FAINALI KWA KUMTOA MDOGO WAKE
Venua Williams amenchapa dada yake ambae ni bingwa wa dunia Serena Williams 6-7 (2-7) 6-2 6-3...Kilichommaliza Serena ni kukosea sana bila kukoseshwa 'unforced errors' nyingi na 'double faults'...Serena alikuwa na 'aces' 19 lakini hazikumsaidia...Venus alipunguza kasi ya ukali katika miaka ya hivi karibuni lakini alijitutumua na kushinda kombe moja la WTA mwaka huu...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment