Wednesday 6 August 2014

EPL: REINA KUINGIA BAYERN


Kipa hatari sana wa Liverpool Pepe Reina sasa anahamia Bayern Munich...Reina ambae hakupendwa sana na Brendan Rodgers na hasa alipoingia Simon Mignolet alihamia Napoli kwa mkopo sasa ataidakia Bayern...Reina ameidakia Liverpool mara 394 na aliingia Merseyside mwaka 2005...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment