Wednesday 27 August 2014

EPL: ETOO NDANI YA EVERTON


Samuel Eto'o ameingia Goodison Park rasmi...Amesaini mkataba wa miaka 2...Eto'o alikuwa Chelsea na baada ya mkataba wake kuisha timu ya Martinez imemchukua na iko tayari kutumia ujuzi wake...Ameshapitishwa na madaktari na sasa yuko tayari kwa mechi ya jumamosi dhidi ya timu yake ya zamani...Bofya hapa upate habari zaidi..

No comments:

Post a Comment