Samuel Eto'o ameingia Goodison Park rasmi...Amesaini mkataba wa miaka 2...Eto'o alikuwa Chelsea na baada ya mkataba wake kuisha timu ya Martinez imemchukua na iko tayari kutumia ujuzi wake...Ameshapitishwa na madaktari na sasa yuko tayari kwa mechi ya jumamosi dhidi ya timu yake ya zamani...Bofya hapa upate habari zaidi..
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Wednesday, 27 August 2014
EPL: ETOO NDANI YA EVERTON
Samuel Eto'o ameingia Goodison Park rasmi...Amesaini mkataba wa miaka 2...Eto'o alikuwa Chelsea na baada ya mkataba wake kuisha timu ya Martinez imemchukua na iko tayari kutumia ujuzi wake...Ameshapitishwa na madaktari na sasa yuko tayari kwa mechi ya jumamosi dhidi ya timu yake ya zamani...Bofya hapa upate habari zaidi..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment