Wednesday 13 August 2014

EPL: ALBERTO MORENO KUIMARISHA KIKOSI LIVERPOOL


Liverpool wamekubali bei ya milioni 12 pounds wamnyakue beki wa kushoto Alberto Moreno kutoka Sevilla...Dogo huyu mweye umri wa miaka 22 atasaidia sana nyuma na hasa ukizingati Jose Enrique yupo lakini hatabiriki...Moreno ni mchezaji wa 8 liverpool kumchukua katika kipindi hiki cha usajili...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment