Lewis Hamilton ataanza wa 2 kwenye grid ya Belgian GP leo...Lewis alipitwa kidogo (sekunde 0.228) na Nico Roseberg baada ya kupoteza muda kona ya kwanza kutokana matatizo ya brake zake...Wa 3 kuanza leo atakuwa Sebastin Vettel wa timu ya Red Bull...Frernando Alonzo wa Ferrari wa 4 na Ricciardo wa Red Bull wa 5...Hali ya hewa ilikuwa mbaya kutokana na mvua...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 24 August 2014
F1: LEWIS HAMILTON KUANZA WA 2 BELGIAN GP LEO
Lewis Hamilton ataanza wa 2 kwenye grid ya Belgian GP leo...Lewis alipitwa kidogo (sekunde 0.228) na Nico Roseberg baada ya kupoteza muda kona ya kwanza kutokana matatizo ya brake zake...Wa 3 kuanza leo atakuwa Sebastin Vettel wa timu ya Red Bull...Frernando Alonzo wa Ferrari wa 4 na Ricciardo wa Red Bull wa 5...Hali ya hewa ilikuwa mbaya kutokana na mvua...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment