Hasheem Thabeet mtanzania anayecheza mpira wa kikapu wa kulipwa kwenye ligi ya NBA amechukuliwa na Sixers....Thabeet alikuwa Oklahoma Thunder na athamia Sixers kwa makubliano ya cash na pia issue za draft pick ijayo...Lakini inasemekana hatokaa sana Sixers...Kwa habari zaidi Bofya hapa.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Wednesday, 27 August 2014
NBA: HASHEEM THABEET ACHUKULIWA NA SIXERS
Hasheem Thabeet mtanzania anayecheza mpira wa kikapu wa kulipwa kwenye ligi ya NBA amechukuliwa na Sixers....Thabeet alikuwa Oklahoma Thunder na athamia Sixers kwa makubliano ya cash na pia issue za draft pick ijayo...Lakini inasemekana hatokaa sana Sixers...Kwa habari zaidi Bofya hapa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment