Wednesday 27 August 2014

NBA: HASHEEM THABEET ACHUKULIWA NA SIXERS


Hasheem Thabeet mtanzania anayecheza mpira wa kikapu wa kulipwa kwenye ligi ya NBA amechukuliwa na Sixers....Thabeet alikuwa Oklahoma Thunder na athamia Sixers kwa makubliano ya cash na pia issue za draft pick ijayo...Lakini inasemekana hatokaa sana Sixers...Kwa habari zaidi Bofya hapa. 

No comments:

Post a Comment