Saturday 30 August 2014

EPL: AC MILAN WAMCHUKUA TORRES KWA MKOPO


Chelsea striker Fernando Torres anaingia AC Milan kwa mkopo...Chelsea wamemuachia aende huko kutokana na matakwa yake na pia kikosi kinavifaa vipya kama Diego Costa kwahiyo hawamhitaji...Torres alihamia Chelsea kwa pesa nyingi sana (pounds milioni 50) lakini hakuweza kulinganisha kiwango chake na hizo pesa...Mkopo ni wa miaka 2 na sasa anasubiri kukubaliana na masharti na kupita uangalizi wa madaktari...Bofya hapaa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment