Thursday 28 August 2014

CAMEROON: ETO'O ASTAAFU INTERNATIONAL FOOTLBAL


Samuel Eto'o ametuma ujumbe kwenye Instagram yake akisema ameachana na soka la kimataifa na anawashukuru waafrika na mashabiki wake wote duniani kwa support aliyopata...Eto'o hato cheza kwenye AFCON January na atakuwepo muda wote na timu yake mpya ya Everton...Eto'o ameshachezea timu kubwa sana kama Real Madrid, Barcelona, Chelsea na nyingine...Alianza mechi za kimataifa 1997 wakati walivyo chapwa na Chile 5-0...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment