Swansea City wamenyakua pointi 3 katika game yao dhidi ya Manchester United kwa kushinda 2-1...Kocha mpya wa Manchester Van Gaal hakuamini macho yake wakati bao la 2 la Swansea linaingia kutoka kwa Sigurdsson...Kocha amekaribishwa rasmi kwenye premiership ambo chochote kinaweza kutokea...Kipindi cha kwanza Manchester hawakucheza vizuri na walipata chances kama 3 tu na walikuwa chini bao 1...Kipindi cha 2 walichangamka kidogo na Rooneey alisawazisha kwenye dakika ya 53...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 17 August 2014
EPL: MANCHESTER UNITED CHALI MECHI YA KWANZA
Swansea City wamenyakua pointi 3 katika game yao dhidi ya Manchester United kwa kushinda 2-1...Kocha mpya wa Manchester Van Gaal hakuamini macho yake wakati bao la 2 la Swansea linaingia kutoka kwa Sigurdsson...Kocha amekaribishwa rasmi kwenye premiership ambo chochote kinaweza kutokea...Kipindi cha kwanza Manchester hawakucheza vizuri na walipata chances kama 3 tu na walikuwa chini bao 1...Kipindi cha 2 walichangamka kidogo na Rooneey alisawazisha kwenye dakika ya 53...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment