KCC FC wameanza vizuri michuan ya Kagame baada ya kuwashangza mabingwa wa Kenya Gor Mahia bao 2-1...Gor Mahia ndio walianza kuona lango la KCC baada ya striker anayechezea Uganda Cranes anayejulikana kwa jina la 'Mzee' au Daniel Sserunkuma kufanya mambo...Brian Mjenga alisawazisha baada ya dakika 7 tu baada ya kutoka mapumziko...Umony alimalizia dakika ya 88 na kuipa ushindi KCC...Bofya hapa upate habari zaidi...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 9 August 2014
KAGAME CUP: KCC YATOKA NYUMA NA KUISHANGAZA GOR MAHIA
KCC FC wameanza vizuri michuan ya Kagame baada ya kuwashangza mabingwa wa Kenya Gor Mahia bao 2-1...Gor Mahia ndio walianza kuona lango la KCC baada ya striker anayechezea Uganda Cranes anayejulikana kwa jina la 'Mzee' au Daniel Sserunkuma kufanya mambo...Brian Mjenga alisawazisha baada ya dakika 7 tu baada ya kutoka mapumziko...Umony alimalizia dakika ya 88 na kuipa ushindi KCC...Bofya hapa upate habari zaidi...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment