Omary Sulle bingwa wa tennis u-14 amepata scholarship ya kwenda kusoma na kuendeleza kipaji chake huko Casablanca Morocco...Dogo huyo ameiweka Tanzania kwenye ramani ya tennis duniani na anatarajiwa kuwa mkali sana miaka inayokuja...Max Sports inamtakia masomo mema na tunamuombea azidi kuwa mkali katika fani yake ya tennis...
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Wednesday, 6 August 2014
TENNIS: BINGWA WA TENNIS TANZANIA U-14 APATA SCHOLARSHIP
Omary Sulle bingwa wa tennis u-14 amepata scholarship ya kwenda kusoma na kuendeleza kipaji chake huko Casablanca Morocco...Dogo huyo ameiweka Tanzania kwenye ramani ya tennis duniani na anatarajiwa kuwa mkali sana miaka inayokuja...Max Sports inamtakia masomo mema na tunamuombea azidi kuwa mkali katika fani yake ya tennis...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment