Sunday 3 August 2014

EPL: LIVERPOOL YAICHAPA AC MILAN


Liverpool yaichapa AC Milam bao 2-0...Liverpool sasa wako kwenye form nzuri na bao la kwanza lilikuja kutoka kwa Joe Allen baada ya mpira kurebound...Bao la 2 lilikuja badae kutoka kwa Suso...Sasa Liverpool watakutana na Manchester United kwenye fainali ya International Cup jumatatu ijayo...Bofya hapa upate habari zaidi...


No comments:

Post a Comment