Sunday 23 November 2014

VPL: YANGA WAPATA DEFENSIVE MIDFIEDER


Wazee wa Jangwani wamepata defensive midfielder mpya baada ya Jaja kutimka kutokana na issue za kifamilia...Jaja hakuweza kuwika kwani kati ya mechi 7 za Vodacom Premier League amepachika bao moja tu...Emerson De oliviera Neves Rouqe mwenye umri wa miaka 24 anatarajiwa kutia timu Jumanne na afayiwe uchunguzi wa afya tayari kuisaidia Yanga...Dogo huyu anatokea timu ya daraja la 2 huko Brazil ya Bonsucesso...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment