Tuesday 4 November 2014

BALIMI BOAT RACE 2014: TEAM ELIUD PROSPER YANYAKUA UBINGWA


Mashindano ya Mkoa wa Kagera ya makasia au mitumbwi timu ya Eliud Prosper kwa upande wa wanaume na wanawake timu ya Khadija Ramadhan wamenyakua ubingwa...


Mashindano hayo ambayo yamedhaminiwa na TBL kupitia brand yake ya Balini Extra Lager yalikuwa yakusisimua na ya ushindani mkubwa sana...


Mabingwa walizawadiwa 900,000/- na kupata nafasi ya kuiwakilisha Kagera kwenye fainali za kanda jijini Mwanza...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment