Sunday 2 November 2014

BMW MASTERS: ALEXANDER LEVY AONGOZA KWA MIKWAJU 4


Alexander Levy anaongoza BMW Masters akiwa mbele kwa shots 4 (-22) na anayemfuatia ni Jamie Donnaldson ambae ana -18...Levy alimaliza round ya 3 akiwa na 63 akiwa na birdies 9 katika mashimo 15 ya mwanzo...


Justin  Rose ameibuka wa 3 akiwa -15 na alimalizia round na 64...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment