Danny Welbeck amesema sababu kubwa ya yeye kuhamia Arsenal ni kwamba sasa anacheza nafasi ambayo inasaidia timu katika game...Awali alipokuwa Manchester United alikuwa anacheza wing ya kushoto sana chini ya mfumo wa 4-4-2 na alikuwa hawezi kuisaidia timu yake katika nafasi hiyo...Sasa anamagoli 5 kati ya mechi 12 akiwa na Arsenal na amezoea maisha ya mjini London...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 21 November 2014
EPL: WELBECK ATOA SABABU ZA KUHAMIA ARSENAL
Danny Welbeck amesema sababu kubwa ya yeye kuhamia Arsenal ni kwamba sasa anacheza nafasi ambayo inasaidia timu katika game...Awali alipokuwa Manchester United alikuwa anacheza wing ya kushoto sana chini ya mfumo wa 4-4-2 na alikuwa hawezi kuisaidia timu yake katika nafasi hiyo...Sasa anamagoli 5 kati ya mechi 12 akiwa na Arsenal na amezoea maisha ya mjini London...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
.jpg)
No comments:
Post a Comment