Daniel Sturridge atakuwa nje mpaka mwakani kutokana na kuumia kwenye paja...Sturridge sasa ameliumiza paja lake mara ya 9 sasa...Anfield wameamua kuanza uchunguzi ni kwanini naumia kwenye paja lake tu na kama paja lina tatizo sugu...Hali si shwari katika club the Kop na wanamuhitaji sana Sturridge apone awasaidie...Sturridge sasa amefunga madoli 36 kati ya mechi 52...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Friday, 21 November 2014
EPL: STURRIDGE MAJERUHI TENA
Daniel Sturridge atakuwa nje mpaka mwakani kutokana na kuumia kwenye paja...Sturridge sasa ameliumiza paja lake mara ya 9 sasa...Anfield wameamua kuanza uchunguzi ni kwanini naumia kwenye paja lake tu na kama paja lina tatizo sugu...Hali si shwari katika club the Kop na wanamuhitaji sana Sturridge apone awasaidie...Sturridge sasa amefunga madoli 36 kati ya mechi 52...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment