Thursday 6 November 2014

CHAMPIONS LEAGUE: MAN CITY HALI TETE


Mambo sio mambo kwa Manchester City baada ya kuchapwa nyumbani na CSKA Moscow 2-1...Man City sasa wameshikilia mkia kwenye Goup E wakibakiwa na mechi 2...Hali ni tete kutokana na Yaya Toure na Fernandinho kutolewa na watakosa mechi inayokuja dhidi ya kisiki Bayern Munich...


Man City hawakucheza vizuri na Seydou Doumbia alianza kupachika bao mapema dakika ya 2 na dakika ya 8 Toure alisawazasha...Kipindi hicho hicho cha 1 Doumbia alipachika bao dakika ya 34 na kuwaacha hoi Man City ambao sasa wako hatrini kutolewa...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment