Wednesday 26 November 2014

NBA: CAVS YASHINDA


LeBron James ameisaidi timu yake kurudi kwenye ushindi baada ya kuchapwa maraa 4 mfululizo...Cleveland Cavaliers waliweza kuwagaragaza Orlando Magic 106-74...LeBron aliweza kupata points 29 na kati ya hizo 16 kipindi cha kwanza...Bofya hapa upate matokeo mengine ya ligi ya NBA

No comments:

Post a Comment