Athumani Chiundu awashangaza professionals wenzake baada ya kuwatoka na kuongoza katika michuan mikali ya pro golfers katika viwanja vya Gymkhana jiji Dar es Salaam...Chiundu amefanikiwa kumaliza round ya kwanza akiwa na strokes 71...Wengi walikuwa wanalalamikia greens lakini yeye hakulalamika na alisema ziko poa na zina kasi...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 16 November 2014
TANZANIA INTERNATIONAL GOLF OPEN 2014: CHIUNDU AONGOZA
Athumani Chiundu awashangaza professionals wenzake baada ya kuwatoka na kuongoza katika michuan mikali ya pro golfers katika viwanja vya Gymkhana jiji Dar es Salaam...Chiundu amefanikiwa kumaliza round ya kwanza akiwa na strokes 71...Wengi walikuwa wanalalamikia greens lakini yeye hakulalamika na alisema ziko poa na zina kasi...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment