Tuesday 4 November 2014

EPL: SUNDERLAND YATOKA SHIMONI


Sunderland imefanikiwa kujitoa kwenye relegation zone baada ya kuichapa Crystal Palace 3-1...Steven Fletcher aliissaidia timu yake ya the Black Cats kwa kuipatia mabao 2...Bao la kwanza alipachika Fletcher dakika ya 31 kwa kichwa...Crystal Palace walizawadiwa bao wakati Wes Brown alipijifunga dakika ya 55...Sunderland walikuwa wamewazidi sana Crytal Palace hasa midfield na hata boss wa Sunderland Gus Poyet alisema walikuja kucheza wakijua wako vizuri kuliko Crystal Palace...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment