Thursday 27 November 2014

TAIFA CUP: TEMEKE WAENDELEA KUFANYA MAMBO


Michuano ya kimkoa ya basketball yanayojulikana kama Taifa Cup yanaendelea vizuri huku Temeke wakiendelea kuichapa vibaya Arusha 77-29 Jamhuri Stadium huko Dodoma...Mechi yao ya mwanzo Jumanne waliichapa Dodoma 40-18...Wako Group A na Dodoma, Kagera na Arusha...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment