Michuano ya kimkoa ya basketball yanayojulikana kama Taifa Cup yanaendelea vizuri huku Temeke wakiendelea kuichapa vibaya Arusha 77-29 Jamhuri Stadium huko Dodoma...Mechi yao ya mwanzo Jumanne waliichapa Dodoma 40-18...Wako Group A na Dodoma, Kagera na Arusha...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 27 November 2014
TAIFA CUP: TEMEKE WAENDELEA KUFANYA MAMBO
Michuano ya kimkoa ya basketball yanayojulikana kama Taifa Cup yanaendelea vizuri huku Temeke wakiendelea kuichapa vibaya Arusha 77-29 Jamhuri Stadium huko Dodoma...Mechi yao ya mwanzo Jumanne waliichapa Dodoma 40-18...Wako Group A na Dodoma, Kagera na Arusha...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment