Arsenal imepoteza mechi ambayo walitakiwa kushinda na walikuwa mbele mpaka dakika za katikati kipindi cha 2...Arsenal kupitia kwa Alexis Sanchez walipachika bao dakika ya 63 baada ya Danny Welbeck kuchomoka na mpira fasta na kusukuma pasi safi ambayo ilimkuta Sanchez na akapachika bao la karibu...
No comments:
Post a Comment