Monday 10 November 2014

EPL: SWANSEA YAIBUKA NA USHINDI


Arsenal imepoteza mechi ambayo walitakiwa kushinda na walikuwa mbele mpaka dakika za katikati kipindi cha 2...Arsenal kupitia kwa Alexis Sanchez walipachika bao dakika ya 63 baada ya Danny Welbeck kuchomoka na mpira fasta na kusukuma pasi safi ambayo ilimkuta Sanchez na akapachika bao la karibu...


Dakika ya 75 Gylfi Sigurdsson alisawazisha na badae kidogo Bafetimbi Gomis dakika ya 78 aliwapa Swansea ushindi...Swansea sasa wamekaa nafasi ya 5 na Arsenal wamedrop kuingia nafasi ya 6...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment