Tuesday 25 November 2014

COPA AMERICA 2015: BRAZIL KUKUTANA NA COLOMBIA


Draw ya Copa America imewakutanisha Colombia na Brazil kwenye Group C pamoja na Peru na Venezuela...Argentina na Uruguay wako na Jamaica na Paraguay kwenye Group B...Group A wako Chile, Ecuador, Bolivia na Mexico...Michuano hiyo mikali sana ya Marekani ya Kusini itaanza rasmi Alhamis June 11 huko Santiago...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment