Draw ya Copa America imewakutanisha Colombia na Brazil kwenye Group C pamoja na Peru na Venezuela...Argentina na Uruguay wako na Jamaica na Paraguay kwenye Group B...Group A wako Chile, Ecuador, Bolivia na Mexico...Michuano hiyo mikali sana ya Marekani ya Kusini itaanza rasmi Alhamis June 11 huko Santiago...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 25 November 2014
COPA AMERICA 2015: BRAZIL KUKUTANA NA COLOMBIA
Draw ya Copa America imewakutanisha Colombia na Brazil kwenye Group C pamoja na Peru na Venezuela...Argentina na Uruguay wako na Jamaica na Paraguay kwenye Group B...Group A wako Chile, Ecuador, Bolivia na Mexico...Michuano hiyo mikali sana ya Marekani ya Kusini itaanza rasmi Alhamis June 11 huko Santiago...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment