Bingwa wa WBO welterweight Manny Pacquiao amemchapa mmarekani Chris Algieri huko Macau...Pac-Man alimpeleka chini Algieri mara 6 katika round 12 za mpambano na ni mara ya 1 Agieri anachapwa...Pac anamkono mkali sana wa kushoto ambao aliutuia vizuri kumwek chini Algieri...Kati ya mapambano 64 Pac ameshinda 57...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 23 November 2014
BOXING: MANNY PACQUIAO AMTWANGA ALGIERI NA KUBAKI NA MKANDA WA WBO
Bingwa wa WBO welterweight Manny Pacquiao amemchapa mmarekani Chris Algieri huko Macau...Pac-Man alimpeleka chini Algieri mara 6 katika round 12 za mpambano na ni mara ya 1 Agieri anachapwa...Pac anamkono mkali sana wa kushoto ambao aliutuia vizuri kumwek chini Algieri...Kati ya mapambano 64 Pac ameshinda 57...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment