Sunday 23 November 2014

BOXING: MANNY PACQUIAO AMTWANGA ALGIERI NA KUBAKI NA MKANDA WA WBO


Bingwa wa WBO welterweight Manny Pacquiao amemchapa mmarekani Chris Algieri huko Macau...Pac-Man alimpeleka chini Algieri mara 6 katika round 12 za mpambano na ni mara ya 1 Agieri anachapwa...Pac anamkono mkali sana wa kushoto ambao aliutuia vizuri kumwek chini Algieri...Kati ya mapambano 64 Pac ameshinda 57...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment