Baada ya kutaarifiwa kuwa Roy Kean ameondoka Aston Villa wachezaji walishangilia sana...Kean ameondoka Villa akisema anahitaji muda wa kukaa na familia yake...Boss wa Villa Paul Lambert amefurahi kuondoka kwa Kean lakini mashabiki wanataka Lambert ndio aondoke Villa baada ya timu kutofanya vizuri...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Sunday, 30 November 2014
EPL: WACHEZAJI WA VILLA WAFURAHI KEANE KUONDOKA
Baada ya kutaarifiwa kuwa Roy Kean ameondoka Aston Villa wachezaji walishangilia sana...Kean ameondoka Villa akisema anahitaji muda wa kukaa na familia yake...Boss wa Villa Paul Lambert amefurahi kuondoka kwa Kean lakini mashabiki wanataka Lambert ndio aondoke Villa baada ya timu kutofanya vizuri...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment