Monday 3 November 2014

F1: HAMILTON AMZIDI AKILI ROSBERG NA KUSHINDA USA GRAND PRIX


Lewis Hamilton amevunja rekodi ya Uingereza iliyowekwa na Nigel Mansel ya mtu mwenye kushinda races nyingi...Hamilton amesema alimzidi akili Rosgerg alivyompita na kushinda GP ya USA huko Austin Texas...


Kutokana na ushindi huu Hamilton yuko karibu na kushinda Championship ya GP...Bado kuna GP ya Braziil na Abu Dhabi na Hamilton akitoka wa 2 katika zote 3 atakuwa bingwa wa dunia...Bofya hapa upate habari zaidi.


No comments:

Post a Comment