Sunday 2 November 2014

EPL: MOURINHO ALAUMU MASHABIKI


Jose Mourinho amelaumu mashabiki waliokuja kuangalia game ya Chelsea na QPR...Mourinho amesema katika game ya jana utafikiri hakuna watu uwanjani mpaka walivyofunga ndio akashtuka kuwa kuna watu...Kipa wa QPR baada ya dakika 20 aliomba taa za uwnjani zibadilishwe na Jose alisema mtunza taa alikuwa amesinzia kama mashabiki....Jose amesema hajafurahishwa na jinsi timu yake ilivyocheza ingawa sasa wako points 9 mbele ya timu nyingine...Chelsea ilishinda 2-1...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment